One thought on “FURSA YA KUMILIKI SHAMBA LA UFUGAJI WA KISASA (FEEDLOTS)”
habari za leo Jatu Kilimo naomba kuuliza: Ni lini tutalipwa pesa zetu za mauzo ya mahindi na marage mbona tunaelekea kwenda kupokea taarifa ya kilimo cha msimu mwingine? wapendwa kama faida kwa heka ni 350,000 tu hamuoni kama ni pesa ndogo sana? na imekaa muda mrefu mno? Kuchelewesha malipo hayo ni sawa na kumnyima mtu haki yake. Tafadhali napenda kujua ni lini nitalipwa pesa hiyo? Mameltha S.Lumelezi
habari za leo Jatu Kilimo naomba kuuliza: Ni lini tutalipwa pesa zetu za mauzo ya mahindi na marage mbona tunaelekea kwenda kupokea taarifa ya kilimo cha msimu mwingine? wapendwa kama faida kwa heka ni 350,000 tu hamuoni kama ni pesa ndogo sana? na imekaa muda mrefu mno? Kuchelewesha malipo hayo ni sawa na kumnyima mtu haki yake. Tafadhali napenda kujua ni lini nitalipwa pesa hiyo? Mameltha S.Lumelezi
Na.AA-4890
LikeLike