Kampuni ya JATU inazidi kutangaza fursa ya HISA kwa watanzania ikiwa na dhima ya kuwafikia watu wote wenye kipato cha chini, kipato cha kati na kipato cha juu. Kupitia kampeni ya BUKU TANO INATOSHA, tumekua tukiwafikia wananchi wengi zaidi ambapo kwa siku ya leo kampeni hii imefanyika maeneo ya Sinza, Bunju, Mbezi ya Kimara, Kinondoni na Magomeni pamoja na viunga vyake, kesho tutakua wapi…?
Endelea kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii. Kununua hisa za JATU ili uweze kunufaika zaidi, hisa moja inauzwa shilingi 500, BUKU TANO INATOSHA kumiliki hisa 10 ndani ya kampuni ya JATU.




I’m allowed to purchase shares with a value of one million TZS?
LikeLike
am I allowed to purchase shares with a value of TZS one million?
LikeLike
Yes.! Welcome
LikeLike
sure Bencolias
LikeLike