Kutokana na Uhitaji wa mashamba kwa wanachama wa kampuni ya JATU kuwa mkubwa. JATU PLC wamefungua tena nafasi ya kuomba mashamba na kushiriki katika mradi wa kilimo na kampuni ya JATU.
Kilimo cha maharage Kilindi, Tanga – Ekari 500 (Kukodi) @Tshs. 100,000/=
Kilimo cha mpunga Kilombero, Morogoro – Ekari 500 (Kukodi) @Tshs. 100,000/=.